WAZAZI CHINA SASA KUWEKA WATOTO WASIOWAHITAJI KWENYE MABOXI...

0
Mpango wa jiji moja la Uchina ujulikanao kama "baby box" ambapo wazazi wanaweza wakaweka watoto wasiyowahitaji umezua utata mkubwa baada ya mpango huo kuonekana ni kinyume na maadili.

Shirika la usatwi wa jamii la Shenzhen hivi sasa limandikia utawala wa Uchina baru aya kuruhu mpango huo kuanza kutekelezeka mapema mwakani. Hata hivyo mitandao ya kijamii imeonekana kupinga hatua hiyo huku watumiaji wengi wa mitandao hiyo wakidai kuwa hii itachochea wazazi wasio wajibika.

Hata hivyo mkuu wa shirika hilo la Shenzhen, Tang Rongsheng,amesema kuwa karibu watoto wachanga 100 waliotelekezwa waliletwa katika



Kituo chake mwaka huu, hivyo shirika hilo linajaribu kuweka maslahi ya watoto hao mbele.

0 comments: