Monday, 10 February 2014

Ona kizaazaa Pambano kati ya DMX na Zimmerman

Pambano la ndondi lililokuwa limepangwa kufanyika kati ya rapa DMX na George Zimmerman limetangazwa kuwa halitokuwepo tena, ikiwa ni siku nne kabla ya kufanyika kwa mkutano rasmi na waandishi wa habari kutambulisha pambano.

Taarifa hizi zimetangazwa na promota aliyekuwa anaandaa pambano hili, Damon Feldman na afisa habari wa DMX, Domenick Nati na hii ni kutokana na mpambano huu kupata
pingamizi nyingi kutoka kwa watu hususan kutokana na Zimmerman ambaye umaarufu wake umetokana na tuhuma za mauaji
ya mtu mweusi.

No comments:

Post a Comment