OBAMA AANDIKA BARUA KWA MWALIMU MTATA MAREKANI...MWL AIKOSOA MBAYAAAAAAAAA....ZAMA

0
RAIS wa Marekani Barack Obama ameandika barua binafsi kwa Mwalimu mmoja Huko Marekani akijaribu kumuelezea kiangaubaga dhumuni hasa la mswada alioupendekeza wa Afya unaleta utata mwingi hivi sasa nchini humo.

Mwalimu Thomas J. Ritter, mwenye umri wa miaka 49, ambaye anafundisha darasa la tano katika shule moja ya msingi huko Texas nchini Marekani, amuandika Rais Obama Barua akimkosoa kwa mpango wake huo wa Bima ya afya akisisitiz akuw asio mpango mzuri kwa wamarekani.

Hata hivyo Mwalimu huyu al;ishngazwa sanna kama mtu mwingine yeyote kwa kupata majibu ya barua hiyo kutoka kwa kiongozi huyo mkuu wa nchi tena kwa mwandiko wake mwenyewe.

Katika barua hiyo Rais aliyoiandika kwa Bw. Ritter, Rais alitetea mpango huo wa afya na kukiri kuwa swala hilo la afya haliwezi kuhusishwa na siasa.

Rais aliandika kuwa anauhakika  wananchi wa Marekani wanahitaji Mpangio huo na kwamba Mwalimu Ritter asiutazame mpango huo kisiasa bali autizame kama njia moja wapo ya kuleta faraja kwa Wamarekani.

Moja ya sentensi zilionekana kumkera zaidi bwana Obama ni ile ambayo Bw. Ritter anasema mswada huu wa afya umeleta sumu katika mandhari ya nchini humo. 



Waandishi wa Habari walipomuuliza Bw. Ritter anampango gani na abrua hiyo alioandikiw ana Rais alijibu kuwa, Ataiuza baru ahiyo kwa bei isiyopuingua Dolla elfu 24 za marekani takriban Mill. 40 za kitanzania, kwasababu haijamfurahisha kabisa na kwamba Rais alimuandikia kile alichodhani Bw Ritter alitaka kusikia. Kwa Mujibu wa mwalimu huyu yale ni maneno tuu kwenye karatasi na hadhani kuwa Rais anamaana yoyote kwa kuyaandika.





Ama Kweli... Wamarekani... Tunasema acha Mbele kuitwe mbele...

0 comments: