UTAFITI WA MAPENZI YA DHATI WABAINISHWA KWA PICHA...ZAMA HUMU

0
Wanasayansi wamegundua jaribio jipya kwa wapenzi ambalo wanaamini ni muhimili mkubwa katika kufanikisha mahusiano mazuri, zaidi hata ya mitazamo walionayo wapenzi waliooana hivi karibuni kwa sasa.

Kwa maneno mengine, mitazamo walionayo wapenzi haielezei kwa kina mapenzi yao halisi baada ya muda mrefu kutoka sasa.

Utafiti huo umebaini kuwa, jinsi atakavyo (React) mpenzi baada ya kuonyeshwa picha ya mpenzi wake, kwa haraka haraka inaonyesha mpenzi huyu anaweza akwa mtu wa ain agani baada ya kipindi fulani katik andoa yao. Wale waliokuwa na reaction hasi, hawatafanikiwa katika ndoa yao au uhusiano wao wa muda mrefu.


Lakini wale walionesha Reaction Chanya basi wanadalili za kufanikiwa katika uhusiaqno wao.

Utafiti huu umechapishwa katika jarida la Kisayansi huko Marekani.




Kiongozi wa utafiti huo, Profesa Prof James McNulty kutoka chuo cha Florida, amesema utafiti huo unaelezea ukweli zaidi ya watakavyo dai wapenzi wenyewe au hata jamii inayowazunguka.

0 comments: