Thursday, 6 February 2014

Izzo Business sasa aja UPYAAAAAAA....

Rapa Izzo Business ameachia rasmi ngoma ya Tummoghelle ambayo alikuwa amewaahidi mashabiki wake kwa muda mrefu, ngoma ambayo imesukwa na mtayarishaji Duke wa M Lab na kukamilishwa ndani ya studio za Master J.



No comments:

Post a Comment