Huu Hapa Ushauri wa Paul Mashauri kwa Vijana...

0
Paul Mashauri
Mdau mkubwa wa filamu ambaye pia anamiliki kampuni za utayarishaji Video, Paul Mashauri, amewataka vijana wenye vipaji na wanaopenda fani ya kuigiza hapa nchini, kuamka na kuchukua hatua kujiingiza katika fani hii, ili kusaidia kuleta ladha,
vipaji na mawazo mapya ili kuendeleza fani hii ambayo inakuwa kwa kasi Tanzania.
Paul Mashauri na Prudence Gerald katika ofisi za Eatv

0 comments: