Wanawake kutoka nchini Ireland sasa watambulika rasmi kuw andiyo wanwake wanaovutia zaidi duniani. Hii ni kutokana na shirika la kimataifa linalofanya uchambbuzi wa aina hii ulimwenguni.
Wavuti ya
BeautifulPeople.com. imewataja wanawake wa Ireland kuwa wenye mvuto zaidi ya mataifa mengine yoyote na kuwapandisha nafasi kumi kutoka walikokuwa hapo awali.