PSQUARE YANUKIA.... TIKETI NDO HIZOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO.....zama humu...
0
Katika kuendelea kuwaburudisha wapenzi wa burudani nchini Tanzania kwa kuwaalika wale mapacha Peter and Paul Okoye (Together they are (Psquare) wanaoitikisa Dunia kwa sasa kutoka Nigeria, East Africa Television Ltd imeanza mchakato wa kupatia Tiketi (TICKETS) mashabiki watakaoshuhudia burudani hiyo katika Viwanja vya Leaders Club mnamo tarehe 23 ya mwezi wa Novemba mwaka huu.
Kupata Ticketi hii ya awali, Unahitajika kutumia huduma ya M-Pesa.
1.Ingia kwenye menu
2.kisha bonyeza nunua bidhaa
3.Andika nambari ya bidha ambayo ni 111 222
4. Ujumbe utarudi ukikutaka ukubali muamal
5. Utabonyeza 1 Kukubali.
6. Receipt Yako itakuja. Tunza Message hiyo mpaka utakapoenda kwa wakala au wasambazaji wa Tiketi hizo kujipatia Tiketi yako.
Read More




























