WAHAMIAJI HARAMU WAKAMATWA... WAKOSA PUMZI NDANI YA LORI

0
Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro limewakamata wahamiaji haramu 16, wanaodhaniwa kutokea nchini Somalia ndani ya Lori lililobeba shehena ya chokaa na hali zao ni mbaya kutokana na kukosa pumzi.


0 comments: