HAKUNA MAPAMBANO KATI YA POLISI NA WANANCHI :GALAWA

0
Mkuu wa Mkoa wa Tanga nchini Tanzania Luteni Mstaafu Chiku
Galawa amesema hakuna mapambano kati ya polisi na wananchi, na
wananchi kwa wanachi mkoani humo kama inavyoenezwa na baadhi ya watu kupitia mitandao mbali mbali ya kijamii.



Mkuu huyo wamkoa wa Tanga amesema kuna kikundi cha watu kimekuwa kikihamasisha watu kwenda mkoani humo kufanya fujo kwa lengo la kuwaokoa wenzao waliokamatwa hivi karibuni.

0 comments: