ONA MAAJABU YA POP CORN..."BISI"

0




Popcorn

Tafiti iliyofanyika katika chuo cha  Colge huko mbele zinasema kuwa, kutafuna pocorn wakati wa kutizamam Runinga kunaweza kumfanya mtu asikumbuke kabisa matangazo.

Hii ni kwasababu inaaminika kuwa iliukumbuke tangazo lazima utamke jina la bidhaa inayotangazwa. Lakini mtu akiwa anatafuna kitu atashindwa kutamka neno hivyo kushindwa kuifahamu bidhaa inayotangazwa.

HASARA KUBWA KWA WATANGAZAJI WA BIDHAAA.....????

HATA HIVYO UTAFITI UMEENDELEA KUONESHA KUWA, kutafuta bigijii kunaqwezakumfanyamtu kuw amakini kw amud amrefu kwani unalainisha mzunguko wa damu maeneo ya kichwa.

Upo hapo..walimu darasani hawana budi kuruhu bigijii kwa misingi hii...Toam maoni yako.

0 comments: