TAYLOR SWIFT ON POINT

0

Japo this young beautiful and talented woman is not loved by many Blacks huko Mbele....I am so in love with her.

I love her fine presence...She is just so fine....

Mdada huyu asiyeish askendo z akimahusiano kwani ni kati ya mastaa wenye klist ndefu ya ma Ex, Taylor anajitolea sana kwa jamii yake kwani hivi karibuni ameweza kuanzisha kituo cha Elimu kijulikanacho kama Taylor Swift Education Centre huko Nasville Marekani.

Taylor amewahi kushinda tuzo karibia 200, kwanzia kufanya kazi na Big Machine Records in 2008. Tuzo hizo ni pamoja na Grammys 7, Billboard Music awards 12, The Academy of Country Music ilimpa 7 huku akizoa 11 kutoka American Music awards.

0 comments: