IMANI KWA RAIS TANZANIA YASHUKA, UTENDAJI NAO SIO

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete
Taasisi ya Utafiti ya REPOA Research on poverty alleviation, imetoa matokeo ya utafiti iliyoufanya juu ya Imani ya watanzania kwa Uongozi wa juu wa nchi. Kwa mujibu wa Takwimu hizo, utendaji wa rais kwa umeonekana kushuka kutoka asilimia  94 mwaka 2005 mpaka asilimia 90 mwaka 2008 na sasa asilimia 71 .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete

Rais na M/Kiti wa chama cha Mapinduzi  Jakaya Mrisho Kikwete

0 comments: