NDEGE KUTUMIKA KWA HOME DELIVERY.....upo apooo????
0
Amazon, shirika la kimataifa la
biashara za rejareja hasa katika mtandao, linafanya majaribio
yakuweza kutumia ndege zisizohitaji rubani kwa ajili ya kufikisha
mizigo kwa wateja wao kwa haraka, usalama na urahisi zaidi.
Aina hii
ya ndege ziitwazo Drones, zipo za ain nyingi lakini zinaangukia
makundi makubwa mawili yaani zile zinazotumiw akwaajili ya uchunguzi
fulani au zinazobeba mabomu ya milipuko. Ndege hizi huendeshwa na
Rubani kutoka ardhini au zinaweza kuwa katika mfumo maalumu wakufuata
programu zitakazo undiwa.
Mkurugenzi mkuu wa shirkia hili la
kibiashara al Amazo Bw. Jeff Bezos says, ameweka wazi mpango wao huo
akisema kuwa aina hii ya drone watakayotumia ijulikanayo kama
Octocopters, inaweza kusambaza mizigo kwawateja yenye uzito, mpaka wa
Kilogramu 2.3 ndani ya dakika 30baada ya wao kutoa oda.
Hata hivyo alidai kuwa inaweza kuchukua
mpaka miaka mitano kwa huduma hii kuanza kutumiwa rasmi. Hata hivyo
kitengo maalumu cha Anga nchini Marekani bado hakijapituisha matumizi
ya ndege hiyo ijilikanayo kama Drone aina ya Octocopters. Bw. Bezos
alipoulizwa kuhusu mchakato huo na inawezekana ni wakusadikika,
alidai kuwa “Hii inawez akuonekana au kuchukulia kama jambo la
kisayansi la kusadikika, lakini siyo. Ni kitu kinachowezekana."
Bosi huyu alisema hii itasaidi
kusambaza takribani asilimia 86 ya bidhaa zote wanazosambaza kwa
wateja wao. Haya sasa Bongo...Home delivery yenyewe..ni Tatizo Yaani
kuletewa bidhaa nyumbani, bado tunaona ni gharama au ni Starehe
Luxury, lakini wenzetu wamekwisha fikia kufikiria Drone
delivery...Tutafika kweli????
Huduma hii ijulikanayo kama Prime Air,
imeshambuliw avikali na wadadisi wa mambo wanaodai kuwa, kwa mwenendo
wa uchumi kwa sasa. Sio rahisi sana kwa watu kuipokea vizuri huduma
hii kwani wengi wangepend akuichunguz abidhaa, kuafikiana bei pungufu
ndipo kuinunua. Na pi aitakua gharama zaidi kuendesha huduma hii
hivyo haitakua na faida ya kutosha kwa kampuni. Hata hivyo Kampuni
hii imetupilia mbali maoni hayo na kudai kuw aimekwishajipanga. Na
kwamba inaweza kuanza kufanya kazi baada ya miaka mitano.