KAKA HUYU ALINISIKITISHA SANA MIMI BINAFSI...SIKUELEWA NI KWANINI ANAFANYA HIVI...

0
Wote tunafahamu mvua za hapa na pale zinaendelea jijini Dar-es-salaam na Tanzania kwa ujumla. Kwingineko kama maeneo ya kilosa hata kusababisha mafuriko. Lakini katika hali ya kusikitisha,


 katika Pitapita zangu jana tarehe 23 Januari 2014 nlikutana na kaka huyu ambaye jina lake sibahatika kulifahamu mara moja, akinawa mikono katika dimbwi la maji machafu. Bahati Nzuri Camera yangu haikuwa mbali hivyo nikamnasa



0 comments: