Hii Hapa Surprise Ommy Dimpoz anayokuja nayo...
0
Msanii
wa muziki Ommy Dimpoz ambaye kwa sasa mitaa inasubiri kwa hamu kuona
namna atakavyofungua mwaka akiwa anangojewa kuachia video ya ngoma
yake ya Tupogo, amewataka wapenzi wa muziki kusubiri kwa hamu
atakaporejea katika ziara yake huko Marekani na Uingereza katika
msimu huu wa Valentine, ambapo atakuwa mzigo mpya kwa ajili yao.
Dimpoz
amesema
kuwa, kuna mambo mengi mapya kwa ajili yao na hangependa
kuweka wazi kila kitu, isipokuwa amewataka mashabiki wa muziki Bongo
kujua kuwa atakapotua kutoka nnje ya nchi, atakuwa na suprize kubwa
kwaajili yao, Hapa anasema nasi mwenyewe.