LEO NI SIKU YA CHAKULA DUNIANI
0
Mtoto aliyeathirika vibaya na Lishe duni |
Siku ya leo imetengwa na Umoja wa Mataifa, mahususi kwa kuupa Uma uelewa wa umuhimu wa chakula cha kutosha na kuikinga jamii na maradhi yatokanayo na lishe duni au ukosefu kabisa wa chakula.
Huyu pia ameathika vibaya na Utapiamlo |
Muhanga wa Lishe duni |
Hawa ni watoto au Watu wazima? |
Mzee naye Yumo |