WAASI WAMMALIZA JENERALI SYRIA
0
Marehemu MEJA JENERALI JAMEH JAMEH |
Meja jenerali Jameh Jameh ambaye alikuwa mkuu wa kikosi cha Kiintelijensia katika jimbo hilo aliuwaw ana kupigw arisasi masaa 12 yaliyopita na wapiganaji w akikosi cha waasi ambao wanafanya jitihada kumuangusa rais aliyeko madarakani Bashar al-Assad.
Meja huyu alikuwa kifanya shughuli zake za kiserikali maafa yalipomkut. Hakukutolewa taarifa zaidi z akifo hicho.