SIKU YA UMOJA WA MATAIFA. OKTOBA 24

0
BAN KI MOON KATIBU MKUU UMOJA WA MATAIFA

Leo ni siku ambayo Umoja wa mataifa inafanya sherehe za kumbukumbu ya kuanzishwa kwake mwaka 1945.

 Baada ya kusainiwa na wajumbe muhimu zaidi wa umoja huo, Umoja wa Mataifa iliingia kazini rasmi tarehe kama ya leo.

  Sherehe hii imekuwa ikiadhimishwa kuanzia mwaka 1948 mpaka sasa.

Mwaka 1971, siku hii ilitamkwa kuwa siku ya likizo (public holiday) kwa mataifa  wanachama wa umoja wa Mataifa. Lakini Je Inafanyika hivyo?





0 comments: