BOKO HARAM TENAAAAAAAA???
0
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram wameshambulia kambi ya jeshi Kaskazini Mashariki mwa Nigeria, na kuharibu helkopta mbili.
Mashahidi
wamesema wapiganaji hao wameshambulia maeneo kadhaa ya mji wa
Maiduguri, kuanzia mapema jana asubuhi.
Hali
ya hatari ya saa 24 imetangazwa katika mji wa Maiduguri, ambapo pia
uwanja wa ndege wa mji huo umefungwa.