KENYATTA SASA NI HURU???? Zama humu

0
Waongoza mashataka katika mahamaka ya kihalifu ya ICC jana, wamesema kuwa serikali ya kenya inazuia uendeshwaji w akesi ya Rais wa nchi hiyo Uhuru Kenyatta anayeshutumiwa kuchochea ghasia katika chaguzi za mwaka 2007/2008.

Moja ya sababu kuu, waendesha mashitaka hao wanadai ni kitendo cha nchi kuzuia nyaraka muhimu zinazotakiwa mahakamani hapo.
Hata hivyo wakili anayemtetea Rais Kenyatta amedai kuwa kesi hiyo haina nguvu, kwani ushahidi uliohitajika awali ulipatikana lakini haukuwa na tija. Na sasa Ushshidi huu wanaouhitaji sasa sio kipimo cha mtejka wake kwani ungekuw ana umuhimu wangeuhitaji mapema.

Kenya amekutwa bila hatia katika kesi zinzomkabili ikwa ni pamoj ana ile ya mauaji, na kusababisha watu kuhama makazi

Wadadisi wa mambo wanadai kuwa,
muendesha mashataka mkuu awali aliahirisha kesi kwa kusema anahitaji ushahidi, lakini baada ya kukosa ushahidi sasa anaisingizia serikali kuwa haionyeshi ushirikiano. Hii ni kukosekana kwa muelekeo wa kesi.

Hata hivyo Jaji anayeshughulikia kesi hiyo Bw. Kuniko Ozaki amesema wasikilizaji wa kesi

hiyo hawataitolea hukumu mapema kiasi hicho.

0 comments: