Chameleone na Juliana wasikitishwa sana na kifo cha...

0
Staa wa muziki nchini Uganda, Jose Chameleone pamoja na mwanamama Juliana Kanyomonzi wameeleza hisia zao za masikitiko kufuatia kifo cha mdau mkubwa wa muziki na rafiki yao wa karibu Adam Keita kilichotokea juzi huko Uganda.



0 comments: