MFAHAMU ZAIDI ANAYETOA SIRI ZA MAREKANI

0
Edward Snowden
Huyu ni Edward Snowden. Muhusika mkuu anayetuhumiwa na Marekani kutoa siri za nchi hiyo. Sasa yupo nje ya Marekani na nchi ya Urusi imekubali kumpa makazi. ni mtaalamu w amaswala ya kompyuta na amewahi kuajiriwa katik akitengo cha CIA cha Marekani.

Amewahi kushinda Tuzo zijulikanazo kama "the biennial German "whistleblower prize" mnamo Agosti Mwaka huu.Kutoka na kuvujish akwake habari za Marekani. Mwenyewe akiri alifanya kutoka na kutofautiana na sera zilizopo akiona ni za kuumiza wengine.

Soma zaidi malalmiko na nani wanalalamika...

Malalamiko yanayoikabili Marekani ya kusikiliza mawasiliano ya viongozi mbalimbli kwa njia ya simu kwa siri ili kujua yanayoendelea katika nchi hizo yamechukua sura mpya baada ya Kansela wa Ujerumani Angela Merkel kulalamika kuwa amekuwa akifuatiliwa na Maekani. Japokuwa Marekani imekataa tuhuma hizo, Ujerumani inaamini kuwa Marekani imefanya hivyo na wanataka maelezo.

Malalamiko ya aina hii yametokea sana hivi karibuni, Ikiwa ni Pamoja na Rais wa\ zamani wa Mexico kuilalamikia mMarekani kuichunguza akaunti yake ya barua pepe.

Awali iliwahi kuelezwa kuwa Marekani imekuw aikiifatilia Aljazeera enzi za uongozi wa Bush.Felipe Calderon

Angela Merkel

Felipe Calderon



Wanaharakati na picha za Rais Barack Obama kushoto , Edward Snowden Kulia


0 comments: