Hivi Ndivyo Afande Sele anavyoadhimisha...

0
Mkongwe wa sanaa ya muziki wa kizazi kipya Bongo, Afande Sele naye amekuwa moja kati ya wasanii ambao wameamua kufanya kitu kwa ajili ya kuadhimisha siku ya wapendanao ambayo siku ya leo pia huko Morogoro anaachia ngoma mpya aliyoipatia jina 'Mshenga'.

Afande Sele pia kupitia mpango wa kuachia ngoma ngoma hii ambao utaambatana na show maalum kwaajili ya wapendanao katika siku hii muhimu kwao, amekuwa na ujumbe maalum wa upendo kwaajili ya mashabiki wake ambapo amewataka kutokupotosha maana ya Valentine Day kama anavyoeleza mwenyewe hapa.

0 comments: