NYERERE DAY....JE TUNAMUENZI?
0
Amezaliwa kama Kambarage Nyerere Mwaka
1922 tarehe 13 april katika familia ya watoto 26 katika familia ya
chifu wa Zanaki Nyerere Burito(1860-1942).Alikuwa Mwalimu wa Biology
na English na baadaye History na Kiswahili na ni mtanganyika wa
Kwanza kusoma British University. Aliacha watoto saba.