UKRAINE KWAWAKA MOTO...FAHAMU UNDANI WA GHASIA

0

Rais wa Ukraine Viktor Yanukovych
Seriali inayopigwa vita ya nchini Ukraine sasa imevulia kofia waandamaji baada ya kukubali kufutilia mbali sheria kandamizi zinazoweka vipingamizi kwa mikutano ya hadhara na maandamano nchini humo.

Afisa mkuu wa wizara ya sheria na haki za binadamu nchini humo Bi. Olena Lukash amesema serikali imekubaliana na wananchi hao jana jioni. Wakati ghsia z akiasiasa zikiendelea kushika kasi nchini Ukraine walionywa wasipokubalian an ahilo, serikaoi ingewez kutangaza hali ya hatari wakati wowote.

Aliendelea kusema kuwa sheria hizo zilizidhinishw atarehe 16 ya mwezi huu zitfutiliwa mbali na matek awote wataachiwa huru iwapo tu maandamano yataachwa na barabara zote zitakuw aslamana huru kupitika.

Taarifa hii imekuja baada ya mazungumzo katika meza ya pamoja kati ya Rais Viktor Yanukovych na upinzani, ambapo wafuasi wa upinzani wameweka kambi mji mkuu wa Kiev kutaka kuondoka madarakani kwa Yanukovych na chaguzi mpy anchini humo. Polisi na waandamaji wamepigana vikali katika mitaa mbalimbali, ghasia zilizoacha mamia wakiumizwa vibaya na wengi kyupoteza maisha.

Waandamanaji na wanaharakati wameendelea kutilia msumari msimamo wao w amikutak aRais Yanukovych kujiuzulu.

Rais aliendelea kufanya mazungumzo na upinzanio akiwasihi kukubalia ofa mbalimbali alizotoa kama vile kumtaka kiongozi mmoja wa upinzania Bw. Arseniy Yatsenyuk kuw awaziri mkuu, nafasi ambayo aliikataa.


Hata hivyo imeripotiwa kuwa, kunaweza kukatokea mabadiliko makubwa katika baraza la mawaziri nchini humo kwani hivi sasa, Tayari Waziri Mkuu wa Ukraine amekwishaandika barua ya kujiuzulu kwa Rais na Rais ameipitisha.

Viongozi wengine wa upinzani ambao ni kiongozi wa chama cha Udar (Punch) Bw. Vitali Klitschko, na wa Nationalist Bw. Oleg Tyahnybok wametafsiri kutoa madaraka kwa Viktor Yanukovych kama kunshindwa kwa sera zake na maamuzi yake ya kuiendesha nchi hivyo kuchochea mipango yakutaka kumng'oa
Waziri Mkuu wa Ukraine aliyejiuzulu Mykola Azarov
Mpango wao unawez akufanikiwa, ila usipofanikiwa, utasababishw aghasia mara mbili ya zilizokuwepo nchini Ukraine. Tatizo kubwa nchini Ukraine ni hali ya uchumi. Seriali nyingi zilizowahi kuwa madarakani hazikufanya mabadiliko yoyote katika bei za nishati kama gesi na mafuta kwa kuhofia kuwakera wapiga kura hivyo kusababisha uchumi kuzorota kila kukicha.

Hali inakuwa mbaya zaidi pale ambapo mipango ya Ukraine ya kufanya makubaliano maalumu na Russia nchi inayoipatia Ukraine gesi, inagonga mwamba. Miaka 10 iliyopita, Ukraine ilisaini mkataba ulioitwa kandamizi na Urusi ambapo Ukraine imekuwa ikilipia zaidi gesi kuliko nchini nyingine za umoja wa Ulaya.

Wadadisi wa mambo wanasema kama hali ndiyo hii, hata badiliko la serikali linaweza lisisaidie kumaliz atatizo.

N:BNi kweli. Serikali nchini Ukraine zimekuwa zikiwahofia wapiga kura wake, hivyo kuogopa hata kupandisha bei ya mafuta na gesi kwa hofu ya kukosa kura... Unadhani serikali za Tanzania nazo zingekuwa na hofu ya aina hii kwa wapiga kura wake tungekuwa wapi?

0 comments: