MWANAMKIE AWAOMBA RADHI VIBAKA KWA KUTOIBA CHOCHOTE...

0

Mwanamke mmoja huko Uingereza ameandika barua kwa vibaka waliovunja kwa makusudi ya kuiba nyumbani kwake akiwaomba radhi kwa kutokuwepo na vitu vya thamani ndani ya nyumba hiyo.

Mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la Kate Barrett, mwenye umri wa miaka 36, aliongeza katika barua hiyo kuwa, yeye na Mpenzi wake Dan Owens, walisikitishw asana kw akitendo cha vibaka hao kudharau au kutojali uwepo wa Kaseti za video zilziokuwepo ndani ya nyumba hiyo kwa kuwa waliacha upande huo wa chumb aukiw ahaujaguswa kabisa.

Miss Barrett aliiweka barua yake hiyo katika mlango wa nyuma wa nyumba hiyo ambayo anaishi na mpenzi wake Mr Owens, iliyopo huko Northampton.

Barua ilisoma hivi....

Wapendwa Vibaka,

Ahsanteni sana kwa kufika usiku ule..lakini tunao,ba radhi kwani hakukua na lolo9te la thamani kw aajili yenu.

Kama mnavojua hatuna taste ya vitu vya thamani hivyo haman haja ya kuvamia humu ndani tena.
Labd aikiw amtahitaji kanda zangu za Video. Hata hivyo mpenzi wangu amesikitika sana hamkuchukua vitu hivi awali.

Kama mtataka, basi pigeni hodi mlango wa mbele na muombe...hamna haja ya kuvunja mlango wangu kwasababu ni kazi sana kuokota vipisi vya viooi vilivyo pasuka sakafuni.

Ahsanteni sana kwa alama za vidole mlizoacha...Kwa hizo tunawashukuru...

Mapenzi tele...


Kate na Dan xxx

Wapenzi walikuwa kwenye mitoko ya mwisho w awiki, walipoingili anyumbani kwao...Hata hivyo Polisi mjni Northampton wanawasaka vibaka hao kwani alama za vidole bado zipo..


KIBONGO BONGO...KULIKONI...HILI LINAWEZEKANA...TOA MAONI YAKO...

0 comments: