UAMUZI WA KENYA KUFUNGAMANA NA TANZNAIA UNAASHIRIA NINI?????

0
Kenya imekuwa nchi ya kwanza katika jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kuipongeza Tanzania kwa hatua yake ya kutangaza bayana kwamba haiko tayari kutoka katika jumuiya hiyo kama ilivyokuwa ikidhaniwa.


Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam, Waziri wa mambo ya nchi za Nje wa Kenya Amina Mohamedi amesema Kenya inaiunga mkono hotuba ya Rais Jakaya Kikwete kuhusu uamuzi wake wa kutojitoa katika jumuiya ya Afrika Mashariki huku akisisitiza kuwa bila ya Tanzania hakuna Afrika Mashariki.

  
Kwa upande wake waziri wa mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa nchini Tanzania Benard Membe amesema masuala ya ardhi katika jumuiya ya Afrika Mashariki ni kila nchi katika jumuiya hiyo itumie ardhi yake kwa matakwa husika.

Je nchi za Uganda na Rwanda zilificha siri gani??? 

Once a Witch, Always a Wizard...

0 comments: