WABUNGE UGANDA WAANZA MAFUNZO YA KUTUMIA IPAD...

0
Vimbwanga vya matumizi ya Tabiti yaani I pads nchini Uganda vimeendelea kwa wabunge nchini humo ambao sasa wanahitaji mafunzo ya kutumia Ipad hizo kutokana na wengi wao kushindwa kuzitrumia kabisa.

 


Bunge la Uganda limeingilia kati kupunguza presha za wabunge hao ambao wanahaha kushindwa kuzitumia Ipad hizo. Wabunge nchini Uganda wameanza kufanyiwa mafunzo na kitengo na Tenknoljia IT cha Bunge hilo ili kufaya kazi zao kwa ufasaha kwani taarifa zote watakuwa wakizipata kupitia Ipad hizo.

Wiki Iliyopita wabunge wote wapatao 375 walipewa Ipad hizo ikiwa ni hatua inayofikiriwa kupunguza matumizi makubwa ya karatasi.

0 comments: