WANAWAKE UCHINA WAKAMUA MAZIWA YAO KUTENGENZA SABUNI.....

0
 
Wamama nchini China wameonywa kuacha mara moja tabia ya kutengeneza sabuni za kuogea kutokana na maziwa yao wenyewe. Yaani maziwa yanayotakiwa kunyonyeshea watoto wao, wamama hawa wakiChina wanatengenezea sabuni....

Imegundulika kuwa wakina mama wengi nchini China wanatengeneza sabuni hizi na kuziuza huku 

madaktari wakizipiga marufuku.



0 comments: